UNAYAONA MAMBO YA SUTI HAYA? HATARI..!
 
 
Anaitwa Juma a.k.a Rido 'baba Suma' wa Arusha town. Unaionaje hii Suti; imemtoa bomba kama meneja ama bosi wa kampuni gani vile kubwa unayoijua?
 Hapa amejiachia vilivyo kwa tabasamu la kutosha. Aisee, sometimes kumbe suti nayo ni dili bab kubwa...
Hapa amejiachia vilivyo kwa tabasamu la kutosha. Aisee, sometimes kumbe suti nayo ni dili bab kubwa...   
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment