UNAWEZA UKAFIKIRI NI MAFUNDI WAKIWA KAZINI WAKIJARIBU KUPAMBANA NA INJINI YA GARI FULANI ILI IWEZE KUPONA; LAKINI WAPI....!  
 Mpini Wa Shoka ulimnasa mmiliki wa kituo cha kukusanya chuma chakavu (scrapers) kilichopo mtaa wa Jamhuri-Daraja II Arusha bw. Felichsim (Felii) mwenye shati jeupe akiwa na jamaa zake kadhaa wakipambana kujaribu kuisambaratisha injini ya greda (Caterpilla) iliyokufa ili waweze kuipima kama chuma chakavu....
Mpini Wa Shoka ulimnasa mmiliki wa kituo cha kukusanya chuma chakavu (scrapers) kilichopo mtaa wa Jamhuri-Daraja II Arusha bw. Felichsim (Felii) mwenye shati jeupe akiwa na jamaa zake kadhaa wakipambana kujaribu kuisambaratisha injini ya greda (Caterpilla) iliyokufa ili waweze kuipima kama chuma chakavu....
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment