Ushindi mtamu, meku; hata kama ni mechi ya kirafiki! Wachezaji wa timu ya taifa ya Argentina, Sergio Aguero (10), Zaballeta, pamoja na mshambulizi mpya wa Man 'U' ya Uingereza, Angello De Maria aliyekuwa nyota wa mchezo wakishangilia mojawapo ya mabao yao baada ya kulipiza kisasi kwa kuwafurumua vilivyo mabingwa wa dunia, Ujerumani, kwa kuwacharaza bakora 4-2.
UINGEREZA nao walikuwa uwanjani dhidi ya Norway....
No comments:
Post a Comment