Arsenal yachomoza na ushindi wa ugenini... Liverpool ni majanga matupu kwenye uwanja wake wa nyumbani... Atletico Madrid na Borusia Dortumund nazo zapiga dozi za kutosha...




                                      J’5-22/10/2014




FC Monaco 0 V Benfica 0

Olympiacos 1 V Juventus 0

Anderlecht 1 V Arsenal 2

Bayer Leverkusen 2 V Zenit St. Petersburg 0

Ludogorets 1 V FC Basel 0

Atletico Madrid 5 V Malmo FF 0

Liverpool 0 V Real Madrid 3

Galatasaray 0 V Borussia Dortmund 4

 

Najar wa Anderetch akishangilia bao lake la mapema dhidi ya Arsenal...



 

Vijana wa Arsener Wenger, Aaron Ramsey na Danny Welbeck wakipongezana baada ya kutoka nyuma na kushinda ugenini 1-2

 



Liver 0 Vs Real Madrid 3. Wachezaji wa Liverpool wakimkodolea macho Christiano Ronaldo akishangilia bao lake



Atletico Madrid ni moto...

No comments: