Baloteli na Liverpool yake bado ni kimbembe; yanyonyolewa na Newcastle... Chelsea na Arsenal zashinda. LA LIGA... Barcelona yanyukwa nyumbani... Real Madrid na Atletico Madrid zapeta kwa ushindi mnono... ITALIA...Juve yawasha moto...




                  J’MOSI-01/11/2014

Newcastle United 1 V Liverpool 0-St. James Park

Arsenal 3 V Burnley 0-Emirates stadium

Chelsea 2 V QPR 1-Stamford Bridge

Everton 0 V Swansea 0-Goodison Park

Hull City 0 V Southampton 1-The KC Stadium

Leicester City 0 V West Brom 1-King Power Stadium

Stoke City 2 V Westham United 2-Britania Stadium

Danny Welbeck akimsindikiza mwenzake Sanchez katika ushindi mnono wa bao 3 kwa Arsenal 



Cesc Fabrigas akijiandaa ku mkumbatia Oscar, Chelsea ikishinda 2-1




Super Mario Baloteli, mkono kiunoni, mkono machoni; Yaani ni machungu matupu, Liverpool ikilala 1-0

 

                          La LiGa-Spain

Granada 0 V Real Madrid 4

Barcelona 0 V Celta Vigo 1

Atletico Madrid 4 V Cordoba 2

James Rodriguez akishangilia bao lake wakati Real Madrid ikichanua ugenini kwa bao 4-0



 Shughuli ni watu, na watu ndio sisi. Beki wa Celta Vigo akimdhibiti vilivyo Lionel Messi wakati Barcelona ikipata kichapo cha nyumbani 0-1

 

                                 Serial ‘A’-Italy

Empoli 0 V Juventus 2

Napoli 2 V AS Roma 0

 

 

                         J’PILI-02/11/2014

Man City V Man United-Etihad stadium

Aston Villa V T.Spurs-Villa Park

 

                         J’3-03/11/2014

Crystal Palace V Sunderland-Selhurst Park

No comments: