MSIKITI MPYA WA GHOROFA TAQWA-DARAJA II ARUSHA MJINI, Hatimaye Waanza Rasmi Kutumika Kwa Ibada, Baada Ya Kukamilika Kwa Sehemu Ya Chini...


Mwonekano wa sehemu ya mbele.




Upande wa nyuma



Muumini akichukua 'udhu' tayari kwa ajili ya ibada ya sala. Mbele ya kijana anayechota maji kwenye ndoo, ni milango miwili ya vyoo vya wanamume; na upande wa pili wa vyoo hivi kuna vyoo vya wanawake. Upande wa pili wa ukuta anakochukua 'udhu' muumini huyu, ndipo sehemu ya kuchukulia 'udhu' kwa wanawake. Mwanzo mgumu...  



Sehemu ya waumini wanamume katika mojawapo ya sala. Hii ilikuwa ni siku ya Idd el Fitr.





Sehemu ya waumini wanawake.



Wanawake wakitoka msikitini baada ya sala



Mmojawapo wa waumini, Kassim Mawe 'baba AbdulMalik' akiwa katika pozi la raha ndani ya msikiti huu.




Umati wa waumini wanamume wakati wa ibada ya sala ya Idd el fitr wakiwa wakiwa sehemu ya juu ya msikiti inayoendelea kujengwa, baada ya wao kukosa nafasi sehemu ya chini iliyokuwa tayari imekwishajaa waumini tele...

 

  

No comments: