ARUSHA; KUMEKUCHA!
HATIMAYE Mbunge machachari wa jimbo la Arusha kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Tanzania, Godbless Lema, ambaye alivuliwa ubunge na mahakama, ameshinda RUFANI yake aliyoikata dhidi ya hukumu hiyo, na kuanzia leo tarehe 21/12/2012 amerejea ramsi mzigoni. 
                   Akiwa jukwaani katika moja ya makamuzi yake. 
 Hapa (akitabasamu ndani ya kombati la chama) kulia kabisa, akiongoza mojawapo ya maandamano ya 'Peeeeeoples Power' 
                  Msafara wa wana-'Peeeeeoples Power' kusherehekea.  
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment