KIJIJI CHA ILKIUSHIN; ARUSHA VIJIJINI



Vibanda vya biashara za aina mbalimbali kwenye uwanja wa mnada (Sokoni), uliopo jirani tu na Ofisi za Kijiji cha Ilkiushin, wilayani Arusha (Arusha Vijijini)- Ngaramtoni ya Juu. Kwa mujibu wa wenyeji wenyewe, hapa mnada hufanyika kila siku ya Alhamisi.





Mandhari ya kuvutia na mashamba makubwa yanayolizunguka eneo la Ofisi za Kijiji cha Ilkiushin.




Nyumba hizi zilizopangiliwa vema kwenye mwinuko mkali, zipo Kilometa nyingi sana kutoka katika Ofisi za Kijiji cha Ilkiushin. Hapa, Mpini Wa Shoka ulifanya vitu vyake, ili kukusogezea jirani na jicho lako…

No comments: