Baloteli na Liverpool yake bado ni kimbembe; yanyonyolewa na Newcastle... Chelsea na Arsenal zashinda. LA LIGA... Barcelona yanyukwa nyumbani... Real Madrid na Atletico Madrid zapeta kwa ushindi mnono... ITALIA...Juve yawasha moto...




                  J’MOSI-01/11/2014

Newcastle United 1 V Liverpool 0-St. James Park

Arsenal 3 V Burnley 0-Emirates stadium

Chelsea 2 V QPR 1-Stamford Bridge

Everton 0 V Swansea 0-Goodison Park

Hull City 0 V Southampton 1-The KC Stadium

Leicester City 0 V West Brom 1-King Power Stadium

Stoke City 2 V Westham United 2-Britania Stadium

Danny Welbeck akimsindikiza mwenzake Sanchez katika ushindi mnono wa bao 3 kwa Arsenal 



Cesc Fabrigas akijiandaa ku mkumbatia Oscar, Chelsea ikishinda 2-1




Super Mario Baloteli, mkono kiunoni, mkono machoni; Yaani ni machungu matupu, Liverpool ikilala 1-0

 

                          La LiGa-Spain

Granada 0 V Real Madrid 4

Barcelona 0 V Celta Vigo 1

Atletico Madrid 4 V Cordoba 2

James Rodriguez akishangilia bao lake wakati Real Madrid ikichanua ugenini kwa bao 4-0



 Shughuli ni watu, na watu ndio sisi. Beki wa Celta Vigo akimdhibiti vilivyo Lionel Messi wakati Barcelona ikipata kichapo cha nyumbani 0-1

 

                                 Serial ‘A’-Italy

Empoli 0 V Juventus 2

Napoli 2 V AS Roma 0

 

 

                         J’PILI-02/11/2014

Man City V Man United-Etihad stadium

Aston Villa V T.Spurs-Villa Park

 

                         J’3-03/11/2014

Crystal Palace V Sunderland-Selhurst Park

VODACOM PREMIER LEAGUE(TANZANIA).. Yanga yazibuliwa... Simba wazee sare; heri lawama kuliko fedheha... Azam; ngoma ya kitoto haikeshi, yachapwa tena...





                  J’MOSI-01/11/2014


Stendi United 1 V Tanzania Prisons 1-Kambarage, Shinyanga

Kagera Sugar 1 V Young Africans 0-Kaitaba, Bukoba

Ndanda 1 V Azam 0-Nangwanda Sijaona, Mtwara

Coastal Union 1 V Ruvu Shooting 0-Mkwakwani, Tanga

Ruvu Stars 1 V Polisi Moro 2

Mtibwa Sugar 1 V Simba 1-Morogoro

 

                         J’PILI-02/11/2014

Mgambo JKT 0 V Mbeya City 0 -Mkwakwani, Tanga

Man 'U' na chelsea hakuna m'babe




                         J’PILI-26/10/2014

Man United 1 V Chelsea 1

Burnley 1 V Everton 3

T.Spurs 1 V Newcastle United 2


Didier Drogba akishangilia bao la kuongoza dhidi ya Man 'U' katika mpambano uliomalizika 1-1




Ni juu kwa juu. 

          T.Spurs 1 V Newcastle United 2   

VODACOM PREMIER LEAGUE(TANZANIA)...Ni Dar Yanga; Yaivuruga vilivyo Stendi United nyumbani... Simba Mmmh! Chupuchupu Mbeya... Leo ni Mbeya City Vs Mtibwa; kazi ipo... Azam yanyukwa nyumbani...




                  J’MOSI-25/10/2014

Stendi United 0 V Young Africans 3-Kambarage

Ndanda 0 V JKT Mgambo 1-Nangwanda Sijaona

Azam 0 V Ruvu Stars 1

Kagera Sugar 1 V Coastal Union 1-Kaitaba

Ruvu Shooting 1 V Polisi Moro 0

Tanzania Prisons 1 V Simba 1-Mbeya

 

                         J’PILI-26/10/2014

Mbeya City V Mtibwa V -Morogoro

Real Madrid yaikung'uta bila huruma Barcelona... Man City yazabwa.... Arsenal yang'ara... Liverpool bado hakijaanza kueleweka.... Leo ndio leo Jumapili; Old Trafford kuwaka moto ... ni Man U Vs Chelsea!




                         J’MOSI-25/10/2014

Liverpool 0 V Hull City 0

Southampton 1 V Stoke City 0

Sunderland 0 V Arsenal 2

West Brom 2 V Crystal Palace 2  

Swansea 2 V Leicester City 0

Westham United 2 V Man City 1

 
Sarakasi, au! The Super Mario Baloteli wa Liverpool akibiringika dhidi ya Hull City. Ama kweli, shughuli ni watu...

 

                          La LiGa-Spain

Real Madrid 3 V Barcelona 1

Vidole juu; ushindi mtamu mwanawane. Christiano Ronaldo wa Real Madrid Madrid akishangilia bao lake wakati timu yake ikiibuka m'babe wa Le Classico kwa 3-1 ya La Liga dhidi ya Barcelona ya Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar Dos Santos. Magoli mengine yalifungwa na Kareem Benzema na Pepe. 

 

                                         J’PILI-26/10/2014

Man United V Chelsea

Burnley V Everton

T.Spurs V Newcastle United

 

Arsenal yachomoza na ushindi wa ugenini... Liverpool ni majanga matupu kwenye uwanja wake wa nyumbani... Atletico Madrid na Borusia Dortumund nazo zapiga dozi za kutosha...




                                      J’5-22/10/2014




FC Monaco 0 V Benfica 0

Olympiacos 1 V Juventus 0

Anderlecht 1 V Arsenal 2

Bayer Leverkusen 2 V Zenit St. Petersburg 0

Ludogorets 1 V FC Basel 0

Atletico Madrid 5 V Malmo FF 0

Liverpool 0 V Real Madrid 3

Galatasaray 0 V Borussia Dortmund 4

 

Najar wa Anderetch akishangilia bao lake la mapema dhidi ya Arsenal...



 

Vijana wa Arsener Wenger, Aaron Ramsey na Danny Welbeck wakipongezana baada ya kutoka nyuma na kushinda ugenini 1-2

 



Liver 0 Vs Real Madrid 3. Wachezaji wa Liverpool wakimkodolea macho Christiano Ronaldo akishangilia bao lake



Atletico Madrid ni moto...

Mkongwe Didier Drogba aongoza ushindi mnono wa vijana wa Mourinho... Bayern yapiga 7UP ugenini... Barcelona nayo yashinda... Kivumbi sasa ni Anfield; Majogoo wa jiji wataumudu 'muziki' wa Real Madrid ya Christiano Ronaldo?




                                      J’4 -21/10/2014

FC Porto 2 V Athletic Bilbao 1

APOEL Nicosia 0 V Paris St. German (PSG) 1

Schalke 4 V Sporting Lisbon 3

BATE Borisov 0 V Shakhtar Donetsk 7

Barcelona 3 V Ajax Amsterdam 1

CSKA Moscow 2 V Man City 2

Chelsea 6 V Maribor 0

As Roma 1 V Bayern Munich 7

Mkongwe Didier Drogba akishangilia bao katika ushindi mnono wa bao 6-0




Wachezaji wa Bayern Munich wakigongeana mikono katika mojawapo ya mabao yao 7 waliyoshinda ugenini mjini Roma walipoivurumisha mojawapo ya timu kongwe na kubwa barani ulaya, AS Roma ya Uitaliano... 




The Super star Lionel Messi akishangilia ushindi wa Barca

 

                                      J’5 -22/10/2014

Monaco V Benfica

Olympiacos V Juventus

Anderlecht V Arsenal

Bayer Leverkusen V Zenit

Ludogorets V FC Basel

Atletico Madrid V Malmo FF

Liverpool V Real Madrid

Galatasaray V Borussia Dortmund

Yaani Man 'U' chupuchupu nyumbani kwa West Brom...

Wachezaji wa Man United wakishangilia mojawapo ya mabao yao ya kusawazisha... Matokeo yalikuwa Westbro 2 Vs Man U 2

UINGEREZA (PREMIER LEAGUE) ...Chupuchupu Wenger na Mourinho watwangane wakati Chelsea ilipoitia adabu Arsenal... Man United yamfumua mtu... LA LiGa..Real Madrid yakong'ota mtu 5... SERIAL 'A'...Juve na Fiorentina zashinda...


                         J’Pili-05/10/2014


Man United 2 V Everton 1-Old Trafford

Chelsea 2 V Arsenal 0-Stamford Bridge

T.Spurs 1 V Southampton 0- White Hart Lane

Westham United 2 V QPR 0-Boleyn Ground

POS


CLUB
P
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1

Chelsea
7
6
1
0
21
7
14
19
2

Manchester City
7
4
2
1
14
7
7
14
3

Southampton
7
4
1
2
11
5
6
13
4

Manchester United
7
3
2
2
13
10
3
11
5

Swansea City
7
3
2
2
10
8
2
11
6

Tottenham Hotspur
7
3
2
2
9
7
2
11
7

West Ham United
7
3
1
3
12
10
2
10

 

Mshambuliaji Eden Hazard akiipachikia timu yake ya Chelsea bao la kwanza dhidi ya Arsenal.. 




Ilibakia kidogo tu mameneja hawa wawili maarufu, Arsenal Wenger na Jose Mourinho,  watwangane makofi wakati timu zao zilipokuwa zikipambana, na Chelsea kuibuka na ushindi mnono wa 2-0 




Angela Di Maria akijipongeza kwa bao lake safi lililouanzisha ushindi wa 2-1 kwa timu yake ya Man 'U' 


   La LiGa-Spain

Real Madrid 5 V Atletico Bilbao 0

Espanyol 2 V Real Sociedad 0

Celta Vigo 1 V Villarreal 3 

Sevilla 4 V Deportivo La Coruna 1

 

                                 Serial ‘A’-Italy

Juventus 3 V AS Roma 2

Fiorentina 3 V Inter Milan 0

 

 

 

 

LIGI KUU TANZANIA BARA... Yanga yaivuruga Ruvu Stars.. Mtibwa yaendelea kujikusanyia pointi muhimu...


                  J’Pili-05/10/2014



           Young Africans 2 V Ruvu Stars 1-Taifa (Dar)

Raha ya ushindi ni kufurahi, arooooo...

 

Mtibwa 1 V JKT Mgambo 0-Morogoro

#

Team
MP
W
D
L
F
A
D
P


1
Previous rank: 3
3
3
0
0
6
1
+5
9


2

3
2
1
0
5
1
+4
7


3
Previous rank: 13
3
2
0
1
4
4
+0
6


4
Previous rank: 8
3
1
2
0
1
0
+1
5


5
Previous rank: 10
3
1
1
1
3
2
+1
4


6
Previous rank: 4
3
1
1
1
3
2
+1
4


7
Previous rank: 6
3
1
1
1
4
4
+0
4