VPL(TANZANIA)-Mbeya City kulikoni mwaka huu..? Yashughulikiwa na wanaStendi kwenye uwanja wa Kambarage..  Yanga yawahenyesha kwa kwata zito Mgambo JKT; Yaikamua 2-0 ...Azama yang'ara Chamazi. Mvua yavunja mechi ya Mtibwa Vs Kagera-Manungu. Wekundu wa Msimbazi wako Taifa leo
                  J’MOSI’-08/11/2014
Stendi United 1 V
Mbeya City 0-Kambarage,
Shinyanga 
Young Africans 2 V
Mgambo JKT 0-Taifa (Dar)
Mtibwa Sugar 1 V Kagera Sugar 0-Manungu, Morogoro (mechi
imevunjika kwa mvua)
Azam 2 V
Coastal Union 1-Chamazi (Dar)
Polisi Moro 1 V
Tanzania
Prisons 0-Morogoro 
 
                  J’2-09/11/2014
Simba V Ruvu Shooting-Taifa (Dar)
Ruvu Stars V Ndanda-Chamazi
(Dar)
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment